Alikiba – “Bwana Mdogo” (ft. Patoranking) [Audio, Lyrics]

Date 2021-10-08

Category Foreign Music, Lyrics, New Music

Tanzanian singer, Alikiba features Patoranking on the “Bwana Mdogo” song produced by Yoga Beats. Stream, buy, read the lyrics, mp3 download.

Alikiba – Bwana Mdogo

Alikiba – Bwana Mdogo

Talented Tanzanian Singer and songwriter, Alikiba dubbed out a brand new single titled ”Bwana Mdogo”.

The single features Nigerian singer Patoranking and was produced by Yogo Beats.

Alikiba – Bwana Mdogo (ft. Patoranking) (prod. Yoga Beats)

Lyrics

(Yogo on the Beats)

My gal we ni matata, body matata mbaya eeh
Bwana mdogo umenikamata, unanicheza kama karata
Tulikutana kule Cape Cape town
Mpaka Accra Town dowtown, eeh
Eti una sifa za kudanga
Na mengi wanasema sijaona

Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya

Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo

Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo

Mmmh yeah yeah yeah

—–
Patoranking
—–

Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo

Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo

Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya

Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo

Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo

Written By

View All Articles

Official Agency/Label/Management/A&R/PR reporting profile. Drop your correspondence with contact@mpmania.com

1 Comment
  1. sharif says:

    Nice song

Leave a Reply to sharifCancel reply