harmonize – Sandakalawe (remix) (ft. Busiswa) (Audio, Lyrics)

Date 2021-11-16

Category Foreign Music, Lyrics, New Music

Harmonize, off His High School project unveils the remix for the song, “Sandakalawe” featuring Busiswa. Listen, stream, buy, read the lyrics, mp3 download.

Harmonize Sandakalawe (remix)

Harmonize Sandakalawe (remix)

harmonize – Sandakalawe (remix) (ft. Busiswa)

Lyrics

Konde boy call me number one
So much money in the bank money
All dem girls call me honey only your love can turn me to a mad man

Leo nakuto….totoo nakutoa kwenu uje kwangu
Nina hamu yakuto….totoo kutoa mahali uwe wangu
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Wahuni sandakalawe amina aah mwenye kupata apateee
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani?
(mweupee)
Ah sandakalawe amina na mwenye kupata apateee
Je mwenye kukosa akoseee eeh kuku gani?

Leo nataka kukuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe
(Yebooo)

Leo nataka kukuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Nina hamu ya kuto….too kutoka na wewe
(Yebooo)

Leo nataka kukuto….too kutoa out
Mimi na hamu ya kuto….too kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto….too kutoa out
Nina hamu ya kuto….too kutoka na wewe
(Yebooo)

+Comment

Drop A Comment